Download Audio Mp3 | Lameck Ditto – Wapo
DOWNLOAD
QUTABLE LYRICS
Cjali umenitesa mara ngap Au nimelia mara ngap Nia yangu ni moja Cku moja tuwe wote pamoja
Cjasahau cku wa manane ule (ulivyonika) Mbele ya nduguzo na bwana ako yule (ukanitukana) Kwa mapenz nilcmama Kama chizi nlionekana Leo wa kusema hakuna Najua wapi nnakupenda
Wapo waliotaka nkuache, wakasema hatutafka popote, Ndipo wakanifanya niongeze juhud mpk mwsho niwe wako
Cjali umenitesa mara ngap Au nmelia mara ngap Nia yangu ni moja Cku moja tuwe wote pamoja
|